RAIS MAGUFULI AFANYA TUKIO HILI KWA MARA YA KWANZA AKIWA KAMA RAIS - WILAYANI CHATO

Rais Dkt Magufuli Chato
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wakazi wa wilaya ya Chato Mkoani Geita mapema leo.
Rais Dkt Magufuli Chato
Wakazi kutoka vitongoji mbalimbali wilayani Chato mkoa wa Geita, wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ambaye amewasili leo mjini humo alikozaliwa.
Rais Dkt Magufuli Chato
Rais Dkt Magufuli amewasili wilayani Chato kwa mara ya kwanza tangu awe Rais na kuwahutubia wananchi wa wilaya hiyo.
Previous Post Next Post