HII HAPA RATIBA YA MECHI ZA ROBO FAINAL YA KOMBE LA LIGI YA MABINGWA (UEFA)

UEFA
Hatua ya robo fainali imepangwa tayari PSG na Manchester City wote kwa mara ya kwanza mmoja wapo ataandika historia ya kufika nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa kwani tangu zizaliwe hazija wahi kufika hatua hiyo kwahiyo yoyte atakaye pita itakuwa histora kwake.

UEFA wametoka orodha ya timu hizo ambazo zimeingia nusu fainali mbabe wa Arsenal atakutana na Atletico Madrid wakati Real Madrid atakutana na Wolfsburg huku Buyern Munich akikutana na Benifica orodha kama ifuatavyo.
UEFA
Mechi zote zitachezwa April 5-6 na April 12-13
Previous Post Next Post