
Akitangaza matokeo hayo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha alizungumzia hatua iliyochukuliwa na baadhi ya vyama vya siasa akiwemo mgombea wa CUF Seif Sharif Hamad kuwa haikufuata kanuni za tume hiyo kwa vitendo bali walijitoa kwa maneno kwa mujibu wakanuni hizo.
Unaweza kusikiliza hapo chini wakati Matokeo yote yakitangazwa.
Tags
HABARI ZA KITAIFA