
Kuna baadhi ya watu hujikuta katika mahusiano ya kulazimisha, yaani unampenda mtu ambaye hajui thamani ya pendo lako mwisho wa siku unabaki ukiumia wewe na mwenzio akiona ni jambo la kawaida, kwasababu hakupendi ila anajilazimisha tu kuwa karibu yako kutokana na sababu fulani, labda anakuonea huruma anahisi akikuacha utajinyonga au anajiweka kutokana na mali ulizonazo, kwahiyo ni muhimu kuwa makini kwani mapenzi hayatabiriki.
Credit:: Adella Kavishe
Tags
MAHABA