
Kagasheki amesema kuwa jambo hilo sio la kweli hata kidogo huku akiweka wazi kuwa JK bado hata hajafika kipindi ambacho watangulizi wake walikaa madarakani kama wenyeviti wa chama hivyo amelitaka gazeti hilo na watu wenye mtazamo kama huo kuachana mara moja na suala hilo kwa sababu halina ukweli wowote.
Nasoma: Raia Mwema - Magufuli awatia kiwewe CCM
Pls lisikuzwe. JK hajang’ag’ania. Hajazidi muda wa watangulizi wake. https://t.co/j0PtNUlJiV
— Khamis Kagasheki (@KKagasheki) December 23, 2015
Tags
HABARI ZA KITAIFA