Wimbo mpya wa Drake aliofanya na Beyonce umevuja mtandaoni saa chache zilizopita, wimbo unaitwa “Can I”, wimbo pia unasauti ya msanii Sal Houdini. Kwenye wimbo huu Beyonce anasema maneno haya tu “Can I. Baby”. Wimbo umetajwa kuwepo kwenye album mpya ya Drake ‘Views From the 6′.
Tags
MUSIC NEWS