ADAM JUMA ATOA KAULI NZITO KUPITIA INSTAGRAM JE UNATAKA KUJUA INAMHUSU NANI BOFYA HAPA

Muongozaji wa video bora na mkongwe Tanzania ametoa ujumbe wa kuonyesha amekerwa na jambo flani kwenye tasnia ya sanaa haswa kwenye upande wa utengenezwaji wa video Tanzania. Adam Juma alitumia Instagram yake kuandika haya Maneno makali
adam juma
"Watanzania wabishi sana, miaka mitatu tu mtu anaanza kujifanya anajua kumpita mungu,,, kwa style hii hakuna atakae toka i swear to god!!!! Mimi kila siku najifunza ili siku moja nifanye kazi ninayoipenda kwa umakini sio kutengeneza video tu!!!!"
Adam anaendelea kufunguka kuwa “Wengine wanaona kushika kamera na kushot ndio mwisho, tunafanya kazi na watu wengine njee tunajifunza sana vitu mkiona nimenyamaza mnaona km fala vile, ngoja sasa, ota vuzi kwanza pata watoto waende shule, jenga nyumba, acha kunya choo cha baba, kama ni shabiki unadomo peleka kwenye sehemu flani amazing za unaempenda kabla kuhujanitest!!! Muda wa majeruhi ukiingia kwenye 18 zangu nakupendezesha alafu tunakuaga leaders..”

Je kwa kauli hizi Unahisi kuna director au msanii kamkera Adam Juma?,
Picha kwahisani ya BONGO5, Post: Sammisago.com
Previous Post Next Post