Maya alisema wasanii wenzake wana watoto na wengine wajawazito, lakini yeye bado hajabarikiwa kupata mtoto, jambo linalompa hofu ya kuzeeka bila mtoto.
“Nazeeka bila mtoto wa kumzaa, hapa namuomba Mungu aniwezeshe na kunifungulia uzazi niweze kupata motto, maana umri unakwenda, nitazeeka bila ya kuwa na mtoto jamani,’’ alisikitika Maya.
Kutokana na kauli hiyo, Maya anakuwa mwigizaji wa pili kuweka wazi ya moyoni mwake ya kutokuwa na mtoto na nguvu zao wamezielekeza katika maombi.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.