Unknown Unknown Author
Title: EX WA SHAMSA FORD AMMWAGIA SIFA EX WA NAY WA MITEGO SIWEMA, JE ANATAKA KULIPA KISASI?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mume wa Shamsa Ford, Dicky ametumia ukurasa wake wa Instagram kumwagia sifa aliyekuwa mpenzi wa Nay Wa Mitego, Siwema . Hatua hiyo imekuja...
Mume wa Shamsa Ford, Dicky ametumia ukurasa wake wa Instagram kumwagia sifa aliyekuwa mpenzi wa Nay Wa Mitego, Siwema.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya aliyekuwa mke wa Dicky, muigizaji Shamsa Ford kuonekana kwenye picha zilizosambaa mtandaoni akimbusu Nay wa Mitego!

Hivyo anachokifanya Dicky kwa sasa ni kulipiza kisasi kwa Nay aliyemchukulia mke wake!
Hizi ni picha alizoweka kwenye Instagram na kumwagia sifa Siwema.
Siwema 
Post

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top