Unknown Unknown Author
Title: WANANCHI WAFUNGA BARABARA ENEO LA HOTEL TATU MARA BAADA YA BUS LA MANING NICE KUGONGA MTU NA KUFA PAPO HAPO, WAMTAKA MKUU WA MKOA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Na Abdulaziz lindi Wananchi wenye hasira wafunga barabara katika kijiji cha Hotel Tatu Kilwa baada ya basi la Maning Nice kumgonga mkazi ...
Na Abdulaziz lindi
Wananchi wenye hasira wafunga barabara katika kijiji cha Hotel Tatu Kilwa baada ya basi la Maning Nice kumgonga mkazi mmoja wa kijiji hicho na kufariki hapo hapo.. 
Hatua hiyo imesababisha Abiria waliotoka Mtwara, masasi, Nachingwea, Newala na Lindi kwenda na kutoka Dar kukwama hapo baada ya wananchi hao kudai mkuu wa mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza afike katika tukio ili watoe kilio chao.


About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top