Unknown Unknown Author
Title: TUNDU LISU AFUNGUKA "DAR ES SALAAM MNATUTIA KICHEFUCHEFU"
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Akiwa mgeni mgeni Rasmini katika uzinduzi wa Chaso N.I.T Mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lisu Akiongozana na Mbunge wa Ubungo Mweshi...
Mh Tundu Lisu
Akiwa mgeni mgeni Rasmini katika uzinduzi wa Chaso N.I.T Mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lisu Akiongozana na Mbunge wa Ubungo Mweshimwiwa John Mnyika, Amesema haoni haja ya kuyashangilia na kushangilia Matokeo na Ushindi Ambao Ukawa wameupata ktk Matokeo ya Uchaguzi wa Serikari za Mitaa na Vitongoji Vya Jiji la Dar es salaam Kwani CCM imetugalagaza vibaya sana alisema.

Pia Mh Tundu Lisu aliongeza kuwa Katika Historia Nchi zote Zilizofanya Mapinduzi ya Kisiasa Huanzia katika Miji mikuu Na mji kuu wa Tanzania ni Dar es Salaam Dodoma ni danganya Toto Hivyo basi ili MaCCM Yaweze kutoka Madarakani Mh Tundu Lisu Amewataka Wakazi wa Dar es salaam na Vitongoji Vyake Waache Kututia Kichefuchefu ktk Matokeo ya Chaguzi haswa Tunapoelekea ktk Uchaguzi Mkuu Mwezi Octoba, akitolea mifano katika Mikoa ya Kaskazini wakiongozwa na Arusha, Pamoja na Nyanda za juu Kusini wakiongozwa na MBEYA,
Pia aliwataka wakazi wa Dar es salaam Waige mfano wa Jimbo lake Singida mashariki Walivyo wagalagaza MaCCM. Ktk Uziduzi huo Pia Mweshimiwa Tundu Lisu aliwagawia Wanafunzi zaidi ya 120 kadi za CHADEMA. hongeleni sana N.I.T Vyuo vingine viige Mfano Kutoka Kwenu.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top