
Pia Mh Tundu Lisu aliongeza kuwa Katika Historia Nchi zote Zilizofanya Mapinduzi ya Kisiasa Huanzia katika Miji mikuu Na mji kuu wa Tanzania ni Dar es Salaam Dodoma ni danganya Toto Hivyo basi ili MaCCM Yaweze kutoka Madarakani Mh Tundu Lisu Amewataka Wakazi wa Dar es salaam na Vitongoji Vyake Waache Kututia Kichefuchefu ktk Matokeo ya Chaguzi haswa Tunapoelekea ktk Uchaguzi Mkuu Mwezi Octoba, akitolea mifano katika Mikoa ya Kaskazini wakiongozwa na Arusha, Pamoja na Nyanda za juu Kusini wakiongozwa na MBEYA,
Pia aliwataka wakazi wa Dar es salaam Waige mfano wa Jimbo lake Singida mashariki Walivyo wagalagaza MaCCM. Ktk Uziduzi huo Pia Mweshimiwa Tundu Lisu aliwagawia Wanafunzi zaidi ya 120 kadi za CHADEMA. hongeleni sana N.I.T Vyuo vingine viige Mfano Kutoka Kwenu.
Tags
HABARI ZA KITAIFA