PICHA KUTOKA AFRIKA KUSINI | SHETA, KCEE, NAHREEL, JOH MAKINI WAPO, TEGEMEA KITU KIZURI SOON

Joh Makini, Jux, ShetaWasanii Joh Makini, G Nako, Jux, V Money, Sheta na Nahreel wako nchini Afrika Kusini wakufanya shughuli tofauti za muziki wao. Joh Makini alionekana Studio na Rapa KO na kunauwezekano wa collabo kufanyika ingawa alisema ni mapema sana kuongelea.
KCEE NA SHETA 
 
KCEE NA SHETA 
Joh Makini, Jux, G Naka, Nahreel Shetta 
 
Jux, G Nako, Shetta

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post