Mwakilishi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani na Jeshi la Polisi Tanzania, DCP Simon Siro akitoa maneno mafupi kabla ya kwenda kuupumzisha Mwili wa marehemu Mzee Andrew Kumalilwa katika nyumba yake ya Milele. Marehemu Andrew Kumalilwa alizikwa mnamo tarehe 14 February 2015 huko Nyumbani Kwake Tabata Segerea.
Mtoto wa Kwanza wa Marehemu Andrew Michael Kumalilwa, Patricia Andrew akiwa mwenye huzuni wakati wa msiba wa marehemu Baba yake ambapo marehemu alikuwa mstaafu wa jeshi la Polisi Tanzania akiwa na Cheo cha DCP.
Tags
HABARI ZA KITAIFA