Kituo cha radio cha E FM 93.7 leo kimezindua kipindi kipya kabisa cha Sports Headquarter (Makao Makuu ya habari za Michezo) kikiwa cha kwanza katika historia kuruka kwa masaa matatu kuzungumzia michezo tena asubuhi saa tatu mpaka saa sita mchana.
Pichani juu ni Watangazaji nguli wa Michezo nchini Maulid Baraka Kitenge na Ibrahim Masoud Maestro wakikiendesha kipindi hicho cha masaa matatu leo.
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii ni historia kabisa katika radio Stations za Tanzania kipindi cha michezo kuwa cha masaa matatu tena kuanzia asubuhi mpaka mchana.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.