Tottenham, ambao kwenye Mechi yao ya mwisho ya Ligi waliwashindilia Vinara wa Ligi Chelsea Bao 5-3, walitangulia kufunga kupitia Mchezaji wao anaeng’ara Harry Kane.
Palace walisawazisha kwa Penati ya Dwight Gayle iliyotolewa baada Benjamin Stambouli kumwangusha Joe Ledley na kisha kufunga Bao la ushindi kupitia Jason Puncheon.
Huo ni ushindi wa kwanza kwa Palace katika Mechi 8 na umewatoa toka kwenye zile Timu 3 za mkiani na kuwapandisha hadi Nafasi ya 15.
Ligi Kuu England inaendelea Leo kwa Mechi mbili kati ya Arsenal na Stoke City kisha Man United kucheza na Southampton.
VIKOSI:
Crystal Palace: Speroni; Kelly, Delaney, Dann, Ward; Puncheon, Ledley, McArthur, Bannan; Gayle, Murray
Akiba: Hennessey, Mariappa, Guedioura, Hangeland, Thomas, Campbell, Zaha.
Tottenham Hotspur: Lloris; Walker, Fazio, Vertonghen, Rose; Dembele, Stambouli; Chadli, Eriksen, Townsend; Kane
Akiba: Vorm, Davies, Kaboul, Capoue, Lennon, Paulinho, Soldado.
Refa: Anthony Taylor
RATIBA: Saa za Bongo:: Jumapili Januari 11
1630 Arsenal v Stoke
1900 Man United v Southampton
Matokeo Mengine ya mechi za Premier League 10 Jan 2014, Liverpool, Chelsea, Man City na QPR
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.