Msanii wa vichekesho, Kitale jana amefiwa na baba yake mzazi na mazishi yatafanyika leo Kilosa mkoani Morogoro
Akizungumza, Kitale amesema kuwa baba yake amepatwa na umauti jana baada ya kuugua kwa muda mrefu. “Tunashuru Mungu leo saa 7 mchana tunazika pale Kilosa, baba alikuwa anaumwa kwa muda mrefu,” alisema Kitale..
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.