Mark anasema kunahitaji la kufanya hivyo ili kuwapa nafasi watu kuonyesha hisia zao zaidi kuhusu post fulani. Kitufe cha [Like] kinaruhusu mtu kuonyesha hisia chanya tu kuhusu post ya mtu.
Mark anasema “watu huweka vitu vya kuhuzunika na masikitiko ila sababu hakuna Kitufe cha kuonyesha masikitiko watu hubonyeza [Like]
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.