Kundi la Maroon 5 lipo kwenye kiti moto kutokana na video yake mpya ya wimbo ‘Animals’.
Itazame hapa chini.
Hii ni moja ya scene kwenye video hiyo
Video hiyo mpya chini ya kiongozi wa bendi hiyo, Adam Levine inadaiwa kuonesha ukatili wa kimapenzi dhidi ya wanawake licha ya muimbaji huyo kumtumia mke wake Behati Prinsloo kama model. Itazame hapa chini.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.