Wasanii waalikwa 11 wa Bongo Fleva waliweza Kutoa Burudani ya Nguvu kwa wakazi wa Mtwara kama Ilivyotarajiwa kuwa hiyo ni Steji ya Mwisho kwa Mwaka huu kwa wasanii hao Kutumbuiza kupitia Bia ya Serengeti. Hivyo waliweza kuwaonyesha mashabiki Kile kilichowafanya wao kuwa Wafunga pazia la Burudani kwa Msimu wa 2014, Hakika waliitendea Haki Jukwaa hilo.
Hebu tazama Picha Kadhaa za wasanii hao wakiwa Stejini Pale Ndangwanda Stadium, Mtwara
Young Dar es Salaam (Young D) akiwa kwenye steji ya Serengeti Fiesta 2014, Mtwara Nangwanda Stadium
Young Killer Msodoki akitoa Burudani kwenye steji ya Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium Mtwara
Shilole Kiuno (shishi baby) akitoa Burudani kwenye steji ya Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium, Mtwara
Mashabiki wakifurahia Burudani kwenye steji ya Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium, Mtwara
Hapana Chezea Shilole Kiuno, kwenye steji ya Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium Mtwara
MAHABA NIUE...!!!:: Nuh Mziwanda akitoa Burudani kwenye steji ya Serengeti Fiesta 2014 Sambamba na Baby wake Shilole, Nangwanda Stadium Mtwara
Ommy Dimpoz (PozKwaPozi) akiwapa Burudani wakazi wa Mtwara katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium
Ommy Dimpoz (PozKwaPozi) aliweza kuwazawadia Moja ya Cheni yake ionekanayo hapo pichani Mashabiki wake wakati wa alipotoa Burudani katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium
Mashabiki wa Ommy Dimpoz wakiinua Mikono Kupokea Cheni iliyorushwa na Msanii huyo ikiwa kama Zawadi yake kwao.....
Muite Prince Dully Sykes Mtoto wa Kariakoo....Nae alishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium na Kufanya Umati uliofurika Uwanjani hapo Kuripuka kwa Shangwe kubwa.
Umati ukimshangilia Prince Dully Sykes alipokuwa akitoa Burudani Ndani ya Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium.
Prince Dully Sykes akiwapa Burudani wakazi wa Mtwara katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium
Anaitwa Nick wa Pili kutoka WEUSI aliweza kuwakonga nyoyo Mashabiki wapenda Hip Hop waliojitokeza katika Tamasha la Serengeti Fiesta Mkoani Mtwara ndani ya Uwanja wa Nangwanda
Nick wa Pili akitoa Burudani katika Jukwaa la Serengeti fiesta 2014, Nangwanda Stadium Mtwara
Kala Pina na Man Su Li waliweza kukinukisha Pia katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, Nangwanda Stadium, Mtwara
Nay True Boy akifanya yake Ndani ya Nangwanda Stadium katika Jukwaa la Fiesta 2014
Ni Mwendo wa Shangwe... Ndani ya Nangwanda Stadium katika Tamasha la Fiesta 2014, Nay akiwa Kazini ni Hatari Tupu
Unaweza Kumwita Binam au Mwana Falsafa lakini yeye Mwenyewe anapenda umuite MWANA FA....akiwapa Burudani wakazi wa Mtwara katika Tamasha la Serengeti Fiesta katika Uwanja wa Nangwanda Octoba 26, 2014
MWANA FA....akiwapa Burudani wakazi wa Mtwara katika Tamasha la Serengeti Fiesta katika Uwanja wa Nangwanda Octoba 26, 2014
Hakika alipewa Heshima Kubwa sana Mkali wa Hip Hop Nchini unaweza kumwita Fid Q Ngosha the Don, aliweza kuliteka Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Mkoani Mtwara na yeye Ndio aliye funga Pazia la Burudani kwa Mwaka huu.
Mashabiki wakitoa sapoti ya Kutosha kwa Mwana Hip Hop Mkali hapa Bongo Ngosha The Don "Fid Q"
Show Nzima ilisimamiwa na Dj matata Kutoka Clouds Fm unaweza Kumuita DJ BULLA "on the one and two"
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.