Dj Fetty akiwa ndani ya Studio za Safari Radio Mtwara akielezea jinsi walivyojiandaa katika show hiyo ya Serengeti Fiesta 2014, Mtwara.
Hizi ni Baadhi ya Picha ndani ya Mitaa ya Manispaa ya Mtwara Mikindani iliyoweza kutembelewa na Dj Fetty na Mussa Hussein.
Presenter wa JAHAZI kutoka Clouds FM Mussa Hussein akifanya Mahojiano na wanachuo wa chuo cha Utumushi wa Umma Tawi la Mtwara TPSC maeneo ya COCO BEACH
Presenter wa JAHAZI kutoka Clouds FM Mussa Hussein akifanya Mahojiano na wanachuo wa chuo cha Utumushi wa Umma Tawi la Mtwara TPSC maeneo ya COCO BEACH
Presenter wa Kipindi cha XXL kutoka Clouds FM DJ FETTY akifanya Mahojiano na wananchi wa maeneo ya Magomeni Mkanaledi Ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kuhusiana na Show ya Serengeti Fiesta 2014 Mtwara itafanyika Octoba 26, 2014 katika uwanja wa Nangwanda
Presenter wa Kipindi cha XXL kutoka Clouds FM DJ FETTY akifanya Mahojiano na Kijana wa Mtwara ambaye alizungumzia Show ya Serengeti fiesta maeneo ya Magomeni Mkanaledi Ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kuhusiana na Show ya Serengeti Fiesta 2014 Mtwara itafanyika Octoba 26, 2014 katika uwanja wa Nangwanda.
Presenter wa Kipindi cha XXL kutoka Clouds FM DJ FETTY akifanya Mahojiano na Kijana wa Mtwara ambaye alizungumzia Show ya Serengeti fiesta maeneo ya Magomeni Mkanaledi Ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kuhusiana na Show ya Serengeti Fiesta 2014 Mtwara itafanyika Octoba 26, 2014 katika uwanja wa Nangwanda
Presenter wa Kipindi cha XXL kutoka Clouds FM DJ FETTY akifanya Mahojiano na Kijana wa Mtwara ambaye alizungumzia Show ya Serengeti fiesta maeneo ya Magomeni Mkanaledi Ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kuhusiana na Show ya Serengeti Fiesta 2014 Mtwara itafanyika Octoba 26, 2014 katika uwanja wa Nangwanda
Mahojiano yote yalikuwa Live kupitia Radio ya watu "Clouds Fm"
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.