MAANDAMANO BAWACHA: Polisi wakiwa kwenye magari madogo 5, gari 1 la maji ya kuwasha wafika na kuzingira Ofisi za Chadema-Bawacha Kinondoni asubuhi hii kuzuia maandamano.
Polisi wamtia mbaroni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee na wenzake sita na kuondoka nao; hali bado si shwari.
Home
»
HABARI ZA KITAIFA
» MAANDAMANO BAWACHA: POLISI WAVAMIA OFISI ZA CHADEMA KINONDONI, HALI SI SHWARI
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.