Mwanamuziki kutoka Nchini Nigeria akijulikana kwa jina la IYANYA heat maker wa single ya KUKERE ameweza kukonga nyoyo za mashabiki zake kwa kuachia Bonge ya Kichupa cha Wimbo wake mpya alioupa Jina Mr. OREO, Video hiyo imepokelewa kwa kasi ya ajabu hasa Baada ya Kuachiwa hapo jana Hadi sasa Imeweza Kutazamwa na Watu 25,170. Kupitia mtandao wa Youtube.
Hebu Itazame na we Hapa Chini.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.