Unknown Unknown Author
Title: AMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2014
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Taba...

Miss Tabata 2014
Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da'west Park,Tabata jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jumamosi.Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo, Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi wa Tatu, Ramta Mkadara .
Miss Tabata 2014
Miss Tabata aliemaliza muda wake, Doris Molel (alieketi) akisuburi kutangazwa kwa mrithi wake.
Miss Tabata 2014
Warembo walioingia hatua ya tano bora katika Shindano la Miss Tabata 2014
Miss Tabata 2014
Kumi Bora.
Miss Tabata 2014
Warembo wakitoa burudani
Miss Tabata 2014

Miss Tabata 2014
Bendi ya Twanga Pepeta ikitoa burudani kwenye shindano la miss Tabata lililofanyika kwenye usiku wa kuamkia leo
Miss Tabata 2014
Mshereheshaji akizungumza jambo
Miss Tabata 2014
Warembo wakiwa wamevaa vazi la ufukweni
Miss Tabata 2014
Warembo wakitoa burudani
Miss Tabata 2014
Majaji wakifanalaizi mambo.
Miss Tabata 2014
Jaji wa Missi Tabata 2014, Le Mutuzzz akiwataja warmbo kumi bora na pia aliwataja tano bora
Miss Tabata 2014
Washindi wa Miss Ukonga nao walikuja kuonesha ya kwao
Miss Tabata 2014
Maswali yakiulizwa kwa Warembo
Miss Tabata 2014
Miss Talent 2014 alichukua Faudhia Feka
Miss Tabata 2014
Miss Discipline alichukua, Nuru Omary
Miss Tabata 2014
Miss Tabata aliemaliza muda wake, Doris Molel (alieketi) akisuburi kutangazwa kwa mrithi wake.
Miss Tabata 2014
Aliyekuwa Miss Tabata 2013, Doris Molel akimvisha Sasha mshindi wa Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy.
Miss Tabata 2014
Wadau waliofika kutizama Miss Tabata 2014

PICHA NA PAMOJA BLOG

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top