Unknown Unknown Author
Title: WATU KWELI NOUMER...!!! MCHEKI HUYU JAMAA AJIINGIZIA PESA KWA KUJIFANANISHA NA OSAMA BIN LADEN
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Osama wa Brazili akionesha baadhi ya picha alizopiga na watu maarufu. Osama wa Brazil akiwa katika eneo lake la kupigia picha na wat...
Osama feki

Osama wa Brazili akionesha baadhi ya picha alizopiga na watu maarufu.
Osama feki
Osama wa Brazil akiwa katika eneo lake la kupigia picha na wateja.
Osama feki
Osama feki akiwa ndani ya mgahawa wa Rock and Rollalioajiriwa.


Sao Paolo, BrazilMgahawa mmoja nchini BrazilI, Rock and Roll umeamua kumtumia mtu ambaye amefanana kwa kila kitu na aliyekuwa gaidi namba moja duniani, Osama Bin Laden kama kivutio kimojawapo pindi fainali za kombe la dunia zitakapoanza.

Jamaa huyo aliyejulikana kwa jina la Ceara Francisco mpaka sasa amekuwa kivutio na ataendelea kuvutia hasa mashabiki wa timu ya England pindi watakapowasili.

Wazo la kufungua mgahawa huo na kumuweka Bin Laden feki limetokana na tukio ambalo lilijiri nchini Marekani, tarehe 9 ya mwezi wa 11 ambapo gaidi huyo alifanya shambulio kutafutwa kila pembe ya dunia.

Hata hivyo katika mgahawa huo inaelezwa zaidi ukitaka kufika unaambiwa Osama anapatikana pande hizo na unapiga naye picha kadhaa ambazo huzihifadhi kama kumbukumbu.

Habari na Andrew Carlos na mtandao wa DailyMail.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top