Unknown Unknown Author
Title: VIDEO:: HIVI NDIVYO DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA MTWARA KWENYE SHOW YAKE YA "HEALS AND TIES"
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Diamond akitoa burudani kwa wakazi wa Mtwara katika ukumbi wa Makonde Beach. Msanii anayeongoza katika Kinyang'anyiro cha Tuzo za ...
diamond platnumz
Diamond akitoa burudani kwa wakazi wa Mtwara katika ukumbi wa Makonde Beach.

Msanii anayeongoza katika Kinyang'anyiro cha Tuzo za KORA MUSIC AWARDS katika TOP 20 katika Wiki ya 17 Kutoka Tanzinia hapa Namzungumzia @Diamond Platnumz , Wiki iliyo pita aliweza Kufanya Show Kubwa Mkoani Mtwara na Kushuhudiwa na watu Wengi na Kuandika Historia Nyingine awapo Mkoani Humo kwani watu walijazana Ile mbaya na Kuweza Kusababisha Misukumano ya Hapa na Pale.
Kama ilivyo Ada ya Msanii huyo awapo Jukwaani Huwa anawatendea haki Fans wake wa kuwapa Burudani wanayostahili kutokana na Kiingilio walichotoa. Katika Show hiyo Kivutia Kikubwa kilikuwa Pale alipo imba Wimbo wa Muziki Gani ambao aliimba pamoja Na Fans wake wa Mkoani humo na Kuonesha Kuukabilivilivyo wimbo huo Hasa zile verse za Ney wa Mitego na Kusababisha Kuamsha Shangwe Nyingi Sana za Wakazi wa Mtwara walio Hudhuria Show Hiyo.

Sitaki Kumaliza Uhondo Wote Hebu Jionee Mwenyewe katika video Hii hapa::

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top