Gazeti la michezo nchini Brazil Folha de S.Paulo limesema kocha huyo anachunguzwa na serikali ya Ureno kwa deni hilo la kodi linalofikia €7m(5.7m).
Hii ni kati ya mwaka 2003-2008 wakati Scolari akiwa kocha wa timu ya taifa hilo.
Hata hivyo Scolari amejibu mapigo kwa kusema hakuwahi kufanya kosa hilo Ureno na sehemu nyingine alizowahi kufanya kazi.
Ameongeza kama kuna makosa yamefanyika hivyo siyo kosa lake bali ni la mamlaka inayohusika ila yeye alilipa na hakukwepa kodi.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.