SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI WA FILAMU,MAREHEMU ADAM KUAMBIANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB HIVI SASA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA
Shughuli ya kuaga mwili wa aliekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini, Marehemu Adam Kuambiana inaendelea hivi sasa kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Marehemu kuambiana anatarajiwa kuzikwa leo hii kwenye Makaburi ya Kinondoni hapa hapa jijini Dar.
MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

MAREHEMU ADAM KUAMBIANA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post