Amewahi kucheza filamu nyingi kama: Siku za majaribu, mtihani, na movie za odama chini ya Kampuni J film for life, na filamu ya hivi karibuni kucheza ilikua Vanesa in Dillema.
Jana asubuhi wasanii wa bongo walikutana pale Leaders club pamoja na maelezo kutoka kwa ndugu wa marehemu ikaamuliwa kuwa mwili wa Recho Haule utasafirishwa kwa ajili ya maziko pamoja na mwili wa mtoto wake mchanga aliyefariki kuelekea Songea ambako kuna bibi yake pamoja na mtoto wake mkubwa, wazazi wa Recho Haule walifariki siku nyingi zilizopita.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.