Jembe la kazi: Yaya Toure ametikisa kiberiti Man City kwa kudai anataka kuondoka baada ya klabu yake kushindwa kuthamini siku yake ya kuzaliwa.
Kuna taarifa kuwa Seluk anataka kumrejesha Yaya katika klabu ya Barcelona ambako alihama mwaka 2010 kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 24 na sasa ni moja ya wachezaji bora kabisa wanaotegemewa na Man City.
Wakala wa Toure, Dimitri Seluk aliibua shari kwa kusema kuwa kuna uwezekano mkubwa nyota huyo kuondoka Etihad
Tabasamu: Toure kwasasa yupo katika kambi ya timu ya taifa ya Ivory Coast baada ya ziara ya baada ya msimu mjini Abu Dhabi na klabu yake ya Man City.
City wameshikilia msimamo wao kuwa Toure hataondoka kwasababu bado ana miaka mitatu katika mkataba wake aliosaini miezi 12 iliyopita na unampatia paundi laki mbili kwa wiki.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.