JE WAJUA VIDEO YA MY NUMBER ONE RMX IMEGHARIMU KIASIGANI? JIBU HILI HAPA

Akiwa Ndani ya Safari Radio 89.9 FM Mtwara, Msanii Diamond Platnumz amezungumzia na Kuweka wazi Gharama ya Utengenezwaji wa Video ya wimbo wa My Number one Rmx na jinsi alivyokutana na Davido na Kumshirikisha Nyimbo hiyo na Kumletea mafanikio makubwa na Heshima pia kwa Kuchukua Tuzo Saba za KTMA 2014.

Bofya Kitufe cha Kuplay umsikilize Mwenyewe akifunguka:

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post