Kikundi cha mashabiki wa muziki nchini Iran walioiga wimbo maarufu wa mwanamuziki maarufu wa Marekani Pharrell Williams, 'Happy' walijikuta matatani baada ya kukamatwa na polisi.
Mkuu wa Polisi, Hossein Sajedinia, alisema kuwa kanda ya video inayoonyesha vijana hao wakicheza, imekiuka maadili ya jamii.
Watu 6 wameachiwa Huru leo isipokuwa Directa wa Video hiyo, hii Baada ya Rais Hassan Rouhani Ku tweet Hivi kwenye acount yake ya tweetter::
"#Happiness is our people's right. We shouldn't be too hard on behaviors caused by joy." 29/6/2013
— Hassan Rouhani (@HassanRouhani) May 21, 2014
Video hiyo hadi sasa Imetazamwa na watu zaidi ya laki 6 kwenye Mtandao wa Youtube. Kama nawe bado Hujaiona waweza Bofya kitufe cha Play Hapo Chini::
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.