Hii haitoshi Ukiwa kama Mtanzania Tuungane wote kwa Pamoja Kuendelea Kumpigia Kura Msanii wetu pekee kutoka Tanzania Diamond Platnumz hatimae Aibuke Mshindi katika Tuzo hizo.
Unachotakiwa Ni Ku like Page ya Kora ( KORA AWARDS )na Ku comment jina La Diamond Platnumz, Usiongeze neno jingine ili kura yako isiharibike.
Tuungane kwa Pamoja Ilikuleta Heshima kwa wasanii wa Nyumbani
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.