Unknown Unknown Author
Title: DIAMOND PLATNUMZ SASA AONGOZA KWENYE TOP 20 ZA KORA, ENDELEA KUMPIGIA KURA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msanii Pekee katika Tuzo za Kora kwa Mwaka huu Kutoka Tanzania Ameweza kuwa katika nafasi nzuri katika Week ya 17 kwa Kushika namba Moja k...
Msanii Pekee katika Tuzo za Kora kwa Mwaka huu Kutoka Tanzania Ameweza kuwa katika nafasi nzuri katika Week ya 17 kwa Kushika namba Moja katika Top 20 ya chart za KORA.
Hii haitoshi Ukiwa kama Mtanzania Tuungane wote kwa Pamoja Kuendelea Kumpigia Kura Msanii wetu pekee kutoka Tanzania Diamond Platnumz hatimae Aibuke Mshindi katika Tuzo hizo.

Unachotakiwa Ni Ku like Page ya Kora ( KORA AWARDS )na Ku comment jina La Diamond Platnumz, Usiongeze neno jingine ili kura yako isiharibike.
Tuungane kwa Pamoja Ilikuleta Heshima kwa wasanii wa Nyumbani

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top