Unknown Unknown Author
Title: HALI INATISHA TZ: MTU MMOJA AMEUAWA MAENEO YA MBEZI SALASALA...!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mtu mmoja ameuawa maeneo ya Mbezi Salasala,kwa mujibu wa shuhuda alisema kuwa mtu huyo alikuwa anaomba msaada majira ya saa kumi alfajiri,...
Mtu mmoja ameuawa maeneo ya Mbezi Salasala,kwa mujibu wa shuhuda alisema kuwa mtu huyo alikuwa anaomba msaada majira ya saa kumi alfajiri, ambapo kuna watu walikuwa wakimpiga kwa kumkatakata mapanga na kutaka kumchoma moto,haijajulikana kama alikuwa mwizi au kauawa na vibaka.

>>Clauds Fm.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top