>>Clauds Fm.
HALI INATISHA TZ: MTU MMOJA AMEUAWA MAENEO YA MBEZI SALASALA...!
Mtu mmoja ameuawa maeneo ya Mbezi Salasala,kwa mujibu wa shuhuda alisema kuwa mtu huyo alikuwa anaomba msaada majira ya saa kumi alfajiri, ambapo kuna watu walikuwa wakimpiga kwa kumkatakata mapanga na kutaka kumchoma moto,haijajulikana kama alikuwa mwizi au kauawa na vibaka.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.