Star wa filamu Halle Berry mwenye miaka 47 Kwa mara ya kwanza alionekana January 29, 2014 baada ya kujifungua mtoto wake wa pili na ameshangaza watu jinsi alivyo badilika.
Halle alionekana kwenye tamasha la filamu la Acapulco Film Festival huko Mexico na mwili na sura yake vikateka macho ya watu.Halle na mchumba wake Olivier Martinez wamebarikiwa kuwa na mtoto wa kiume waliomuita Maceo mwezi wa kumi mwaka jana.
Tags
WATU MAARUFU