Unknown Unknown Author
Title: MAPOKEZI YA NDANDA FC YAFANA, HAIJAWAHI KUTOKEA MAPOKEZI MAKUBWA KAMA HAYA, CHEKI PICHA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wananchi waliokussanyika Nje wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara Kuipokea Timu yao ya Ndanda Ikitokea Jijini Dar es Salaam ilipofanikiwa Kucheza M...
DSC_0703Wananchi waliokussanyika Nje wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara Kuipokea Timu yao ya Ndanda Ikitokea Jijini Dar es Salaam ilipofanikiwa Kucheza Mchezo wa mwisho na Kusinda na kufanikiwa Kupanda Daraja, Hivyo Timu hiyo Kuanza Kucheza Ligi kuu Tanzania Bara Kwa Msimu wa 2014/2015.DSC_0710Mwandishi wa Kituo cha Radio cha Clouds Fm Ndg Shafih Dauda naye alikuwepo kushuhudia Mapokezi hayo makubwa ambayo hayajawahi kutokea Mjini Mtwara.DSC_0713Msafara wa magari Pikipiki Na bajaji ukiondoga maeneo ya Uwanja wa Ndege na Kuelekea Uwanja wa Mpira wa Nangwanda ambapo sherehe fupi iliandaliwa kuwalaki wachezaji pamoja na Viongozi wa Timu hiyo.DSC_0715
DSC_0716
DSC_0718Basi lililowabeba wachezaji kutoka kampuni ya Naf Beach Hotel likiwa kwenye msururu wa Magari kuelekea uwanja wa Mpira wa Miguu wa Nangwanda.DSC_0729Ukiachana na watu waliokuwa kwenye vyombo vya usafiri wananchi wengi walikusanyika pembezoni mwa Barabara kuwalaki wachezaji hao walipo kuwa wakipita. Hakika Hii ni Historia imeandikwa na Wachezaji hawa wa Ndanda Fc na Kupokewa kwa Maandamano makubwa ya Kihistoria Mkoani Hapa.DSC_0739
DSC_0741
DSC_0746
DSC_0748
DSC_0750Kikundi cha Karate cha KIROHO SAFI wakitoa Burudani ndani ya Uwanja wa Nangwanda.DSC_0754Timu ya Ndanda Fc ikiingia uwanjani Tayari kwa Shughuli ya kupewa Mataji na Mgeni Rasmi ambaye alikuwa ni Katibu Tawala mkoa wa MtwaraDSC_0756Moja ya Bango lililokuwa Uwanjani hapo na Mashabiki wa Ndanda FcDSC_0757Wachezaji wa Ndanda Fc wakiwa wenye furaha wakiwa wanashuhudia kinachoendelea Ndani ya Uwanja wa Nangwanda Mjini MtwaraDSC_0758
DSC_0761
DSC_0773

DSC_0774Mgeni rasmi ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Ndugu Alfred Luanda (aliyevaa suti) akiwa na Mwenyekiti wa chama cha Mpira wa Miguu MTWAREFA ndugu Othman KambiDSC_0775Mkuu wa wilaya ya Masasi ndugu Farida Mgomi naye alikuwepo ndani ya uwanja wa Nangwanda wakati wa Kuipokea Timu ya Ndanda FCDSC_0783
DSC_0791Mwenyekiti wa chama cha Mpira wa Miguu mtwara Ndugu Othman Kambi akiongea na wananchi waliofurika uwanja wa Umoja (Nangwanda)DSC_0796Mkuu wa wilaya ya Masasi akimvalisha taji la Maua Mmoja wa Viongozi wa Timu ya Ndanda FCDSC_0799Othman Kambi (kushoto) Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mtwara akiwa na Mratibu wa wakusaidia Timu.DSC_0802Katibu tawala Mkoa wa Mtwara Alfred Luanda akiwahutubia wananchi waliokusanyika kuipokea Timu ya Ndanda Fc katika uwanja wa Nangwanda Mtwara.DSC_0781
DSC_0822Marino Kawishe Afisa Habari wa Chama cha Mpira wa miguu mkoa wa Mtwara akiwasalimia wananchi waliojitokeza kwa wingi Uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.DSC_0819Shabiki akiwa Kapendeza na Jezi ya Timu ya Ndanda Fc Ndani ya Uwanja wa Nangwanda Mjini Mtwara.DSC_0803Shamrashamra ya mashabiki wa Ndanda Fc wakiwa katika Furaha ya Kuipokea Timu yao iliyopanda daraja na Kucheza Ligi kuu kwa msimu wa 2014/2015.DSC_0811
DSC_0813
DSC_0823Watu walikuwa ni wengi sana kiukweli kama uonavyo ndugu msomaji hakika wakazi wa mtwara walikuwa na kiu ya kupata Timu itakayocheza Ligi kuu na mungu kaipokea dua yao Kazi ni kwao sasa kuhakikisha Timu hiyo inacheza kupitia uwanja wao wa nyumbani kwa kuukarabati ili uwe na viwango vya kucheza mechi za ligi kuu ilikuwapa raha wakazi wa Mtwara.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top