Unknown Unknown Author
Title: SALMA TAMIM A.K.A SABBY ANGEL APATA SHAVU, KUCHEZA FILAM MOJA NA RAMSEY NOAH
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Muigizaji wa filamu mrembo wa Tanzania, Salma Tamim aka Sabby Angel ambaye amepata shavu la kuwa chini ya kampuni ya Coastal Films, ya nchin...

MSANII.6Muigizaji wa filamu mrembo wa Tanzania, Salma Tamim aka Sabby Angel ambaye amepata shavu la kuwa chini ya kampuni ya Coastal Films, ya nchini Kenya, anatarajiwa kuigiza filamu moja na staa wa Nigeria, Ramsey Noah.MSANII.7Sabby ameshaonekana kwenye filamu kadhaa za Tanzania ikiwemo ya Hard Price aliyoigiza na Ray na Nimekubali aliyoigiza na Dr. Cheni, Moto wa Radi na zingine. Pamoja na kuigiza, Sabby pia ni mwanamuziki.COVERMfahamu zaidi kwa picha hizi.MSANII.2

MSANII.3

MSANII.4

MSANII.8

MSANII.9

MSANII.10

MSANII

MSANII.5

Original source: Bongo5

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top