MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU

clip_image001[6]Stori: Shakoor Jongo
MWANADADA mtangazaji na mjasiriamali, Maimartha Jesse anaonekana kuukaribisha upofu kufuatia kukithiri kutumia gundi katika kujipachika kope bandia.

clip_image001Maimartha Jesse.

Kwa mujibu wa daktari wa Ijumaa, wanawake wanaobandika sana kope bandia wanajiweka kwenye hatari ya kupata upofu ambapo Mai ni miongoni mwao.

Katika tukio la hivi karibuni mwanadada huyo alionekana akiwa amejibandika gundi katika harakati ya kujibandika kope hizo na alipoulizwa na paparazi wetu kama haogopi madhara yake alisema:

“Huo ni urembo tu, nimebandika hivyo nikiwa katika maandalizi ya kubandika kope katika macho yangu, sidhani kama naweza kupata tatizo lolote.”

>>GPL

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post