Wengi wenu mtakua mnamjua au mmeshawahi kusikia jina Cossy Orijakor aka Miss Boobie. Kama bado basi ninakujuza kuwa Cossy ni actress na muimbaji kutoka nigeria ambaye amepata kujulikana sana nchini humo kwa vituko vyake hususani kwenye mitandao ya jamii kama Facebook, Twitter, Blogs na websites.
Muonekano wa Picha ya Juu akiwa kwenye Sexy Costume party Ndani ya Club Moja ya Usiku siku ya Valetine.
Tags
WATU MAARUFU