HII NDIO GARI JIPYA LA MSANII BOB JUNIOR, AKIMBIZANA NA JAYDEE….!!!

clip_image001Baada ya Lady jaydee kusumbua siku kidogo zilizopita kwa kuweka picha za gari lake, Bob Junior nae ameamua kuweka picha ya gari lake aina ya Jeep Nyeupe.itazame hapa chiniclip_image001Msanii huyo amelionyesha gali hilo kupitia Akaunto yake ya Instagram na Kunena maneno haya “ Katika Maisha Ya Binadamu usimtegemee sanaa but mwamini Mungu mziki unalipa love u my Car” alimaliza kwa post hiyo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post