Sio siri tena, Loveness Diva na Gwamaka Kaihula aka King Crazy GK ni wapenzi.Mtangazaji huyo wa Clouds FM, amepost picha yake na rapper huyo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika:
“My King…. My GK. Gwamaka Wangu…… My friend. My guardian Angel. My hero.. My Baby. My Everything. With You By myside… I’m happy. das all i need .. to Be happy… ️…… #King&TheQueen.”
Tetesi za kuwa mastaa hao ni wapenzi zilianza kusambazwa na akaunti ya TeamChaggaBarbie ambayo ilimlazimu Diva kujibu: Kama hukuwahi kusoma Majibu hayo Bofya Hapa
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.