GIFT BOX :: JISHINDIE MUDA WA MAONGEZI WA TSH 5,000/= KWA KUTABIRI MATOKEO YA YANGA NA MBEYA CITY

gift boxWapendwa wasomaji wetu kama tulivyo wajuza wiki kadhaa za nyuma kutakuwa na GIFT BOX kwa ajili yenu wasomaji wetu na Leo ndio mwanzo wake hii ni kuzidi kuonesha jinsi tunavyowajali leo tunatoa muda wa maongezi wa Tsh 5,000/= kwa Mtu wa kwanza  atakayetabiri sahihi matokeo ya mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Mbeya City mechi itakayopigwa Uwanja wa Taifa, Dar.

MASHARTI:

  • Coment zote zitolewe katika Coment Box ya Blog na sio katika Page yetu
  • Mwisho wa Kutoa Utabiri wako ni Nusu saa Kabla ya Mechi hiyo Kuanza
  • Lazima Uwe umelike Page Yetu ya Facebook Kama bado Tafadhali Bofya Hapa

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post