DOWNLOAD BRAND NEW AUDIO FROM AY SONG CALLED “ASANTE”

cover AYSi vibaya, siku moja ukikaa na umpendae na kumwambia asante kwa yote alokufanyia, mko wote long time  mnapendana, mnaheshimiana, hayo ni maneno ya AY yakisikika kwenye Interview ndani ya XXL YA Clouds Fm na pia kwenye intro ya wimbo wake aliouachia leo hii."Wimbo huu nimefanya na mwanadada "Della" kutoka Kenya ambae ameshawahi kufanya collable na Sauti Souls, na ni maalum kwa wale wapendanao" alifunguka zaidi AY.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post