Baada ya Siku Kadhaa zilizopita Mtangazaji wa Kituo cha Clouds Fm divathebawse Kuachia Picha za Hasara Katika akaunti yake ya Instagram na kufanya followers wake kutoa maneno ya kejeli wengine wakimpongeza kwa jinsi alivyojaaliwa.Leo hii Mdafada huyo amevuka mpaka zaidi na Kuamua Kuonyesha Umma ukifanya mambo ya Faragha na Mwanaume LiveBado haijatambulika Mwanaume huyo anaitwa nani ameishia kuandika Hivi kwenue hiyo Picha yenyewe LOVE nakuacha heweni…
Hii ni moja ya Picha alizoweza kuziachia akiwa kwenye pozi tatahizi ni baadhi ya Comment zilizotolewa kutoka kwenye pic hiyo duh.. hatari
3.18PM UPDATES…!!!::: DIVA AMCHANA CHAGGA BARBIE NA KUMUAMBIA AMUACHEInaonesha bado kuna Beef ya Chini kwa chini kati ya Chagga Barbie na Divathebawse hii ikiwa wote kuwahi kuwana mahusiano ya Kimapenzi na Muimbaji wa Kenya Prezzo sasa Bado wanarushiana Vijembe vya hapa na Pale hii ni Moja ya Picha Aliyoipost mwana dada Diva Mapema Leo na Kusema Kuwa yeye yuko Huru kuwa na Mtu yeyote sasa iweje atolewe matusi….
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.