DIVAAAA…!!!!! ONCE AGAIN AMEFUNGUKA YA CHUMBANI.. HEBU JIONEE MWENYEWE

DIVA 3Baada ya Siku Kadhaa zilizopita Mtangazaji wa Kituo cha Clouds Fm divathebawse Kuachia Picha za Hasara Katika akaunti yake ya Instagram na kufanya followers wake kutoa maneno ya kejeli wengine wakimpongeza kwa jinsi alivyojaaliwa.DIVA 2Leo hii Mdafada huyo amevuka mpaka zaidi na Kuamua Kuonyesha Umma ukifanya mambo ya Faragha na Mwanaume LiveDIVA 5Bado haijatambulika Mwanaume huyo anaitwa nani ameishia kuandika Hivi kwenue hiyo Picha yenyewe LOVE nakuacha heweni…clip_image002[4] 
Hii ni moja ya Picha alizoweza kuziachia akiwa kwenye pozi tataDIVA 4hizi ni baadhi ya Comment zilizotolewa kutoka kwenye pic hiyo duh.. hatariclip_image002

3.18PM UPDATES…!!!::: DIVA AMCHANA CHAGGA BARBIE NA KUMUAMBIA AMUACHEclip_image002[1]Inaonesha bado kuna Beef ya Chini kwa chini kati ya Chagga Barbie na Divathebawse hii ikiwa wote kuwahi kuwana mahusiano ya Kimapenzi na Muimbaji wa Kenya Prezzo sasa Bado wanarushiana Vijembe vya hapa na Pale hii ni Moja ya Picha Aliyoipost mwana dada Diva Mapema Leo na Kusema Kuwa yeye yuko Huru kuwa na Mtu yeyote sasa iweje atolewe matusi….

Hebu soma Mwenyeweclip_image002[3]

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post