AVRIL KUFUNGA NDOA KWENYE ARDHI YA TANZANIA, HII NDIO SEHEMU YENYEWE

Msanii wa kike kutoka nchini kenya , Avril anategemea kufunga pingu za maisha mwezi wa nne mwaka huu. Avril ataolewa na mchumba wake mtoto wa tajiri  kutoka South Africa ambaye familia yao inamiliki machimbo ya madini nchi za South Africa na Zimbambe.AVRIL.1Harusi hiyo inategemea kufugwa hapahapa Tanzania katika kisiwa cha zanzibar . Wameamua kuchagua Tanzania ili kubalance pande mbili na mwezi wa 4 sababu ndio mwezi aliozaliwa avril.AVRILAvril alishawahi post katika mitandao ya kijamii mwishoni mwa mwaka jana picha ya pete yake ya uchumba aliyovishwa na mpenzi wake, lakini mashabiki wa msanii huyo walikuwa wana hamu ya kumjua au kuona picha ya mvulana ambaye amebahatika kumvisha pete ya uchumba mwana dada Avril.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post