Maskini Penny anamaliza Mwaka Vibaya kwa Kuandamwa na wabaya wake kwa matusi yanayotolewa kupitia mtandao wa Instagram kupitia akount moja inayosomeka @djvpeneeynauzak***.
Akaunti hiyo imepost Post mbalimbali zinazomwandama mdada huyo ambae alikuwa na Mahusiano na Msanii Diamond Platnumz Na hivi karibuni imeripotiwa kuwa wametengana…Sasa haijajulikana Huyu mwenye akaunti hii dhumuni lake ni lipi.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.