WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NAO WAFUNGA MADUKA, NI KUENDELEA KUZIKATAA MASHINE ZA TRA

clip_image002
Wafanyabiashara Kariakoo wamegoma kufungua maduka Kwa Lengo la kushinikiza kukataa mashine za elecroniki za mamlaka ya mapato tanzania (TRA) Hii kwa sababu hawazitaki mashine za risiti walizoagizwa na TRA. Kugoma kwa wafanyabiashara hawa kumetokea siku mbili tu tangu wafanyabiashara wenzao wa mkoa wa Morogoro walipogoma kuzikataa mashine hizo.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung'ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.
Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine hizo

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post