KAMA ULIKUWA HUJUI BASI NAKUJUZA: HAWA NI MA RAPPER WASIO VUTA WALA KUTUMIA KILEVI
byUnknown-
0
Rapper na mfanya biashara mkubwa 50 Cent amefungua orodha ya wasanii wasio vuta wala kutumia kilevi chochote. Nakusanua kuwa anapenda kuonekana anafanya vitendo hivyo kwenye filamu na video zake ila kwenye maisha ya kweli hapendi kabisa pombe wala kuvuta sigara.
Hawa ni wasanni wengine walio kama 50 cent cheki hapa
Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...