KAMA ULIKUWA HUJUI BASI NAKUJUZA: HAWA NI MA RAPPER WASIO VUTA WALA KUTUMIA KILEVI

clip_image002Rapper na mfanya biashara mkubwa 50 Cent amefungua orodha ya wasanii wasio vuta wala kutumia kilevi chochote. Nakusanua kuwa anapenda kuonekana anafanya vitendo hivyo kwenye filamu na video zake ila kwenye maisha ya kweli hapendi kabisa pombe wala kuvuta sigara.
Hawa ni wasanni wengine walio kama 50 cent cheki hapa

clip_image002[7]Hopsin
clip_image002[9]Andre 3000
clip_image002[11]Tyler The Creator
clip_image002[13]Lecrae
clip_image002[15]K'Naan
clip_image002[17]Rob Base
clip_image002[19]Boots Riley
clip_image002[21]Lauryn Hill
clip_image002[23]
Source-hiphopwired.com

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post