HOTUBA YA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, ALIYOITOA BUNGENI KUHUSU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI, 7 NOVEMBA, 2013, DODOMA

clip_image002[19]Rais wa Muungano wa Jamhuri ya Tanzania ,Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein,Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya Pamoja na Wabunge Baada ya Rais Kulihutubia Bunge mjini Dodoma.clip_image002Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye kitabu cha Wageni kwenye Ofisi ya Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda (kushoto) huku Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akishuhudia.
clip_image002[5]Spika wa Bunge Anna Makinda akimaribisha Rais Kikwete kulihutubia Bunge.
clip_image002Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
clip_image002[11]Rais Wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal wakufuatilia hotuba ya Rais Kikwete kwa makini.
clip_image002[13]Wabunge wakisikiliza kwa makini hutuba ya Mh. Rais alipokuwa akilihutubia bunge
clip_image002[15]Baadhi ya Wabunge na Mawaziri wakifatilia Hotuba ya Mh. Rais.
clip_image002[17]Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Anna Makinda akimsindikiza Rais Kikwete nje ya Bunge baada ya kulihutubia leo mjini Dodoma.
clip_image002[22]Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe baada ya Rais kulihutubia bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma.


Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post