BARABARA ZAENDELEA KUJENGWA KWA KIWANGO CHA RAMI-TANDAHIMBA MTWARA

clip_image001Sehemu kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami wilayani Tandahimba mkoani Mtwara, kama kionekavyo mara baada ya kunaswa na camera ya Globu ya Jamii mapema leo mchana. 

clip_image002Basi la abiria likitokea Wilayani Tandahimba kuelekea Masasi mapema leo mchana

clip_image002[5]Mkeka umekolea safi kabisa ndani ya wilaya ya Tandahimba.

clip_image002[7]Tahadhari imewekwa pia

clip_image002[9]Mandhari safi kabisa ndani ya Wilaya ya Tandahimba huku sehemu kubwa ya barabara ikiwa na kiwango cha lami, kurahisisha usafiri kwa wakazi wa Wilaya hiyo na sehemu nyingine.

PICHA KWA HISANI YA MICHUZI BLOG

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post