SHUHUDIA SHEREHE ZA KUPONGEZWA KWA MISS TANZANIA MKOANI MOROGORO LEO

clip_image001Bango la kuingia uwanja wa golf wa Gymkan mkoani morogoro ambapo ulichezwa mchezo wa kumpongeza miss tanzania 2013Afisa uhusiano wa kamati ya Miss tanzania akiwa na miss tanzania katika  picha ya pamojaMiss tanzania namba tatu Clara Bayo Akikabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wa mashindano ya kumpongeza Miss tanzania 2013Mama Sherida chilipochi akipokea zawadi ya jumla kwa wanawake kutoka kwa miss tanzania namba mbili Latifa MohamedMiss tanzania hapiness Akimkabidhi zawadi Mshindi wa jumla Hassan Dendegu mara baada ya kumalizika mashindano ya kumpongeza miss tanzania yaliondaliwa na chama cha golf mkoa wa morogor leo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post